FAHAMU ZAIDI KUHUSU SISI

Tunajihusisha na utoaji wa mikopo ya dharura kwa watu binafsi, mikopo ya matengenezo ya gari,mkopo wa manunuzi ya gari na huduma ya bima. Tumesajiliwa rasmi chini ya Sheria ya Makampuni ya mwaka 2002, na tulianza shughuli zake tarehe 16 Novemba, 2016. Utambulisho wetu wa kampuni ni nambari 130743 na TIN namba 131-930-976.

📍 Matawi Yetu

  • Dodoma: Mtaa wa Uhindini
  • Dar es Salaam: Tabata Bima na Kijitonyama
  • Mwanza: Nyamanoro-Stand
  • Mbeya: Uhindini

💳 Huduma Zetu za Mikopo

Tunatoa mikopo kwa dhamana rahisi kwa kutumia:

  • Magari
  • Pikipiki
  • Bajaji

Misingi Yetu

UWAZI NA UFASIHI

unatoa maelezo kamili na rahisi kueleweka kuhusu huduma zetu, taratibu, na kanuni – hakuna mafumbo, hakuna mianya!.

UADILIFU NA MAADILI

Huduma zetu zinategemea maadili ya haki, uaminifu, na uwazi. Kila ahadi tunayotoa ni ya kweli na inatimizwa kwa uangalifu..

HUDUMA BORA KWA WATEJA

Wateja wetu ni kipaumbele chetu. Tunajitahidi kutoa huduma bora, jibu maswali haraka, na kusaidia katika kila hatua ya mchakato.

KASI NA UFANISI

Hakuna kusubiri bila sababu! Tunatoa huduma haraka, zenye ubora, na zenye ufanisi wa hali ya juu.

UNA MAONI AU MASWALI?

Tunakaribisha maoni na maswali yako. Tupo hapa kukusikiliza na kuboresha huduma zetu. Jisikie huru kuwasiliana nasi.

Maoni yako ni siri na yatashughulikiwa kwa umakini mkubwa.